ABSTRACT
IBRAHIM: Je, umeolewa? MARIAMU: Ndiyo, nimeolewa. IBRAHIM: Je, mna watoto? MARIAMU: Ndiyo, tuna watoto watatu; wote ni wavulana. Na
wewe bwana, umeshaoa? IBRAHIM: Ndiyo nimeoa, lakini mimi na mke wangu tumeten-
gana. MARIAMU: Pole bwana. IBRAHIM: Asante. Labda tutaweza kurudiana. Mimi sitaki kutoa
talaka.